kinyemi
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Kivumishi
[hariri]kinyemi (wingi vinyemi)
Mifano ya matumizi
- Nyimbo za bongo fleva zina kinyemi masikioni.
→ Zinasikika vizuri na kupendeza.
- Chakula cha leo kilikuwa na kinyemi tele.
→ Chakula kilikuwa kitamu.
- Anapozungumza, maneno yake huwa na kinyemi.
→ Hupendeza na hufurahisha kuyasikia.