Nenda kwa yaliyomo

king’ora

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

(wingi: ving’ora)

  1. kifaa cha kutoa sauti kali ya onyo au taarifa.

Kisawe

[hariri]
  • sireni

Tafsiri

[hariri]

Mfano

[hariri]
  • King’ora cha shule kililia muda wa mapumziko ulipofika.