Nenda kwa yaliyomo

kikolezo

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

kikolezo (wingi vikolezo)

  1. kitu au bidhaa inayotumiwa kuongeza ladha au sifa za chakula, kama vile viungo, mchuzi, au kitoweo
  2. kitu au jambo linaloongeza nguvu, kasi, au ushawishi wa kitu kingine.