Nenda kwa yaliyomo

kidusia

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: vidusia)

  1. ni kiumbe anayeishi mwilini mwa kiumbe mwingine(mwenyeji) na kuota chakula kutoka kwakw, bila ya kumpa faida yoyote.

Tafsiri

[hariri]