Nenda kwa yaliyomo

kidonda cha Aden

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. aina ya kidonda cha kitropiki (tropical ulcer) kilichopewa jina kutokana na mji wa Aden, Yemen, ambako kilielezewa kwa mara ya kwanza; huanza kama jeraha dogo na huenea haraka, kikiharibu ngozi, misuli na wakati mwingine mifupa

Tafsiri

[hariri]