Nenda kwa yaliyomo

kereng'ende

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

kereng'ende (wingi vereng'ende)

  1. Mdudu mwenye mabawa manne ya wazi na mwili mrefu, anayepatikana karibu na maji.

Tafsiri

[hariri]