Nenda kwa yaliyomo

kareti

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kijapani

[hariri]

Nomino

[hariri]

Karate (からて)

Ni sanaa ya kijeshi au ya kimapigano yenye asili yake nchini Japani katika visiwa vya Okinawa.

Matumizi katika sentensi

[hariri]

Alianza mafunzo ya Karate akiwa na umri wa miaka saba.

Anashikilia mkanda mweusi (Black Belt) katika mtindo wa Karate uitwao Shotokan.

Etimolojia

[hariri]

Kutoka lugha ya Kijapani: 空手.

空 (Kara) maana yake ni tupu (empty).

手 (Te) maana yake ni mkono (hand).

Kwa hivyo, Karate inamaanisha "Mkono Tupu" au "Njia ya Mkono Tupu".

Kigezo:jamii

Kigezo:jamii

Kigezo:jamii