kareti
Mandhari
Kijapani
[hariri]Nomino
[hariri]Karate (からて)
Ni sanaa ya kijeshi au ya kimapigano yenye asili yake nchini Japani katika visiwa vya Okinawa.
Matumizi katika sentensi
[hariri]Alianza mafunzo ya Karate akiwa na umri wa miaka saba.
Anashikilia mkanda mweusi (Black Belt) katika mtindo wa Karate uitwao Shotokan.
Etimolojia
[hariri]Kutoka lugha ya Kijapani: 空手.
空 (Kara) maana yake ni tupu (empty).
手 (Te) maana yake ni mkono (hand).
Kwa hivyo, Karate inamaanisha "Mkono Tupu" au "Njia ya Mkono Tupu".