Nenda kwa yaliyomo

kangaruu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

kangaruu n-n (wingi kangaruu)

  1. Mnyama wa Australia mwenye miguu ya nyuma yenye nguvu anayoitumia kuruka, na jike hubeba mtoto wake kwenye mfuko tumboni.

Tafsiri

[hariri]