Nenda kwa yaliyomo

kameleoni

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. Jenasi ya reptilia wa familia Chamaeleonidae ndani ya oda Squamata; hujulikana kwa macho yanayozunguka kwa uhuru, ulimi mrefu wa kukamata mawindo, na uwezo wa kubadilisha rangi

Tafsiri

[hariri]