Nenda kwa yaliyomo

jenasi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: jenasi)

  1. ni ngazi ya kimaumbile inayotumika katika upangaji wa viumbehai, chini ya familia na juu ya spishi.
  2. ni ainaau kikundi cha kifasihi.

Tafsiri

[hariri]