jailbird
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- mtu ambaye amekuwa gerezani mara kwa mara au kwa muda mrefu; jina la utani au dhihaka kwa mfungwa wa kawaida
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: mfungwa sugu, mtu wa gereza
- Kifaransa: prisonnier, récidiviste