isthmus
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- kipande chembamba cha ardhi kinachounganisha maeneo mawili makubwa ya ardhi na kutenganisha miili miwili ya maji
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: shingo ya ardhi, sehemu nyembamba ya ardhi
- Kifaransa: isthme