internet of things
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; -)
- Ni maneno ya Kiingereza yanayomaanisha mtandao unaounganisha vifaa vya kila siku (kama vile taa, friji) na intaneti ili viweze kukusanya na kubadilishana data.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili; mtandao wa vitu