internet forum
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri](Wingi; internet forums)
Ni neno la kiingereza linalomaanisha sehemu ya mtandaoni ambapo watu hukusanyika ili kujadili mada mbalimbali, kuuliza maswali, kutoa majibu, na kushirikiana mawazo. Ni kama jukwaa la mazungumzo linalopatikana kwa njia ya intaneti.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili:Jukwaa la mtandao