Nenda kwa yaliyomo

internet forum

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Nomino

[hariri]

(Wingi; internet forums)

Ni neno la kiingereza linalomaanisha sehemu ya mtandaoni ambapo watu hukusanyika ili kujadili mada mbalimbali, kuuliza maswali, kutoa majibu, na kushirikiana mawazo. Ni kama jukwaa la mazungumzo linalopatikana kwa njia ya intaneti.

Tafsiri

[hariri]