insomnia
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- hali ya kushindwa kulala au kupata usingizi wa kutosha; tatizo la usingizi linalosababisha uchovu na kupungua kwa uwezo wa kufanya kazi
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: kukosa usingizi, tatizo la usingizi
- Kifaransa: insomnie, privation de sommeil