independence
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; independence)
- Ni neno la Kiingereza linalomaanisha hali ya kutokuwa chini ya udhibiti, ushawishi, au tegemezi kwa mtu au kitu kingine; uwezo wa kujitegemea na kufanya maamuzi mwenyewe.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili; uhuru, ujitegemeaji, kujitegemea