Nenda kwa yaliyomo

ikweta

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

ikweta (equator)

  1. ni mstari unaogawa dunia katika sehemu mbili kwenye umbali sawa kati ya ncha ya kaskazini na ya kusini

Tafsiri

[hariri]