Nenda kwa yaliyomo

homoni

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: homoni)

  1. ni kemikali au molekuli ya mwili inayozalizwa na tezi fulani na kusafirishwa kupitia damu ili kudhibiti au kuamsha shughuli fulani za mwili.

Tafsiri

[hariri]