homeostasi
Mandhari
Kiswahili
nomino
[hariri]- Uwezo wa kiumbe hai kudhibiti hali ya ndani ya mwili wake ili ibaki thabiti licha ya mabadiliko ya nje. Mfano ni kudhibiti joto la mwili, kiwango cha sukari, au usawa wa maji na chumvi mwilini.
Tafsiri
[hariri]Kiingereza:homeostasis