hifadhi ya taifa
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]hifadhi ya taifa n-n (wingi hifadhi za taifa)
- Eneo la ardhi linalolindwa na serikali kwa ajili ya uhifadhi wa wanyamapori na mazingira yake.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: national park (en)