hifadhi ya mazingira
Mandhari
Kiswahili
[hariri]hifadhi ya mazingira
- Juhudi za kulinda na kutunza maliasili (kama misitu, maji, na wanyamapori) dhidi ya uharibifu unaosababishwa na shughuli za binadamu. Ni muhimu kwa maendeleo endelevu; environmental conservation.
|