hierarchy
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- mfumo wa kupanga watu au vitu kulingana na madaraka, cheo, au umuhimu; mpangilio wa mamlaka kutoka juu hadi chini
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: mpangilio wa madaraka, ngazi za mamlaka
- Kifaransa: hiérarchie