Nenda kwa yaliyomo

hereni

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

hereni (wingi hereni)

  1. ni pambo dogo la masikioni linalotengenezwa kwa shanga, metali na vifaa vingine huvaliwa kwa ajili ya urembo.

Tafsiri

[hariri]