hacker
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri](Wingi; hackers)
- Ni neno la kiingereza lenye maana ya mtu anayetumia ujuzi wa kompyuta kuingia kinyume cha sheria katika mifumo ya kompyuta. (Mfano: Mhalifu wa mtandao aliiba nambari za kadi ya benki yangu.)
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili;mhalifu wa mtandao