gunner
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- askari au mtaalamu wa silaha nzito kama bunduki au mizinga, hasa katika jeshi; pia hutumika kwa mashabiki au wachezaji wa klabu ya Arsenal
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: mpiga bunduki, askari wa mizinga, msasi, mwindaji
- Kifaransa: canonnier, artilleur, tireur