gufunga
Mandhari
Kinyarwanda
[hariri]Kitenzi
[hariri]- Kufunga; tendo la kuweka kitu kisifunguke au kisiingizike.
- Mfano: Gufunga urugi. (Kufunga mlango.)
- Kufunga au kufungasha kamba au kitambaa.
- Mfano: Gufunga umufuka. (Kufunga mfuko.)
- Kuweka mtu gerezani.
- Mfano: Gufunga umujura. (Kumfunga mwizi.)
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: kufunga
- Kiingereza: to close, to lock, to tie, to imprison