gravity
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri](Wingi; gravity)
- Ni neno la kiingereza ambalo linamaanisha nguvu inayovuta kitu kuelekea katikati ya dunia, au kuelekea kwenye kitu kingine chochote cha kimwili chenye masi.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili; kani mvutano