Nenda kwa yaliyomo

gramineae

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kilatini

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. jina la zamani la familia ya mimea ya nyasi (Poaceae), ikijumuisha nafaka kama ngano, mpunga, mahindi, shayiri, mtama na miwa

Tafsiri

[hariri]