gonad
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- kiungo cha uzazi kinachozalisha gameti (yaani mbegu za uzazi); kwa wanaume ni korodani, kwa wanawake ni ovari
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: gonadi, tezi ya uzazi, kiungo cha uzazi
- Kifaransa: gonade