glucose
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- sukari rahisi inayopatikana katika viumbe hai na hutumika kama chanzo cha nishati
- sharubati yenye mchanganyiko wa sukari, hutumika viwandani
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: glukosi, sukari ya damu
- Kifaransa: glucose