glowworm
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- mdudu wa jamii ya beetle ambaye huangaza mwanga wa kijani kutoka tumboni mwake, hasa wakati wa usiku; mara nyingi ni lava au jike asiye na mabawa
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: kimeti, kimulimuli
- Kifaransa: ver luisant, lampyre