Nenda kwa yaliyomo

glaucoma

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. kundi la magonjwa ya macho yanayosababisha uharibifu wa neva ya macho (optic nerve), mara nyingi kutokana na shinikizo la juu ndani ya jicho; huweza kusababisha upofu usioweza kurekebishwa

Tafsiri

[hariri]