Nenda kwa yaliyomo

giligilani

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

(Wingi: giligilani)

  1. Kiungo kinachotokana na mmea wa coriander, kinachotumika kuongeza ladha na harufu nzuri katika chakula
  2. Maganda, mbegu, au majani ya mmea wa coriander yanayotumiwa katika upishi

Tafsiri

[hariri]