Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru
giligilani (wingi giligilani)
- Kiungo kinachotokana na mmea wa coriander, kinachotumika kuongeza ladha na harufu nzuri katika chakula
- Maganda, mbegu, au majani ya mmea wa coriander yanayotumiwa katika upishi