gibberish
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- (wingi) maneno yasiyoeleweka; matamshi au maandishi yasiyo na maana au mpangilio wa lugha unaotambulika
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: maneno yasiyoeleweka, upuuzi wa lugha
- Kifaransa: charabia, discours incohérents