Nenda kwa yaliyomo

ganglion

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. mkusanyiko wa seli za neva, mara nyingi nje ya ubongo au uti wa mgongo
  2. uvimbe wa kawaida usio na hatari unaojitokeza kwenye kano au viungo

Tafsiri

[hariri]