Nenda kwa yaliyomo

frateri

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

frateri (wingi mafrateri)

  1. mwanafunzi wa utawa hasa mwanaume anayejifunza maisha ya kitawa lakini bado hajafika hatua ya kupewa nadhiri kamili yaani kuwa padre.