fluent
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Adjective
[hariri](Wingi; fluent)
- Ni neno la Kiingereza linalomaanisha kuweza kuzungumza au kuandika lugha kwa urahisi na usahihi; laini na isiyo na shida katika mtiririko.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili; fasaha, hodari wa lugha, rahisi kutiririka