fariki
Mandhari
Kiswahili
[hariri]kitenzi
[hariri]fariki
- Kufa; kupoteza uhai. Mfano: Babu yangu alifariki dunia mwaka jana.
![]() |
Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana. |