fangasi
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]- kundi la viumbe hai wasio na klorofili, wanaoishi kwa kuvamia viumbe wengine au kuoza vitu; hujumuisha kuvu, ukungu, na chachu
Tafsiri
[hariri]- Kifaransa: champignon, moisissure
- Kiingereza: fungus