expatriate
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino/Kivumishi
[hariri]- (nomino) mtu anayekaa nje ya nchi yake ya asili, kwa hiari
- (kivumishi) kuishi au kutuma mtu nje ya nchi yake ya asili
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: mwenye kuishi nje ya nchi, mkimbizi wa hiari, kutuma nje ya nchi
- Kifaransa: expatrié, résident à l'étranger, émigré