eukariotiki
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Kivumishi
[hariri]- kinachohusiana na viumbe vyenye seli zilizo na kiini kilichofunikwa na utando pamoja na viungo vingine vya seli vilivyofunikwa na utando; hutofautiana na prokariotiki ambazo hazina kiini kilichofunikwa
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza:eukaryotic
- Kifaransa:eucaryote