eucaryote
Mandhari
Kifaransa
[hariri]Nomino
[hariri]- kiumbe chenye seli zilizo na kiini kilichofunikwa na utando pamoja na viungo vingine vya seli vilivyofunikwa na utando; hutofautiana na procaryote ambazo hazina kiini kilichofunikwa
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili:eukariotiki
- Kiingereza:eukaryotic