Nenda kwa yaliyomo

ekaristi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

(Wingi; ekaristi)

  1. ekaristi ni ibada ya Kikristo, sherehe, au sakramenti ya ukumbusho wa Karamu ya Mwisho, ambapo mkate na divai huwekwa wakfu na kuliwa.

Tafsiri

[hariri]

Kiingereza: eucharist