e-book
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; e-books)
- Ni neno la Kiingereza linalomaanisha kitabu kinachopatikana katika umbizo la dijitali na kusomwa kwenye kifaa cha kielektroniki.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili; kitabu cha kielektroniki