disenfranchisement
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri](Wingi; disenfranchisement)
- Neno la kiingereza lenye maana ya kitendo cha kumnyima mtu au kikundi cha watu haki ya kupiga kura
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili; kunyimwa haki ya kupiga kura