discrimination
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- kitendo cha kubagua au kutendea watu kwa njia isiyo ya haki kulingana na sifa fulani (mfano: rangi, jinsia, dini)
- utofoautishaji wa makini kati ya vitu viwili au zaidi
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili:ubaguzi,utofoautishaji
- Kifaransa:discrimination