digital broadcasting
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; -)
- Ni maneno ya Kiingereza yanayomaanisha usambazaji wa sauti na video kwa kutumia ishara za dijitali, kinyume na analojia.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili; utangazaji wa kidijitali