Nenda kwa yaliyomo

dera

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

dera (wingi madera)

  1. Vazi la wanawake lenye umbo la mlegezo, linalofunika mwili mzima kutoka mabegani hadi miguuni. Huvaliwa hasa katika mazingira ya nyumbani au kwa starehe na shughuli, na linaweza kuwa na mapambo au rangi mbalimbali.

visawe

[hariri]
  1. kijora