Nenda kwa yaliyomo

conifer

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. Mti au kichaka cha kundi la Gymnosperms, hasa familia Pinaceae na Cupressaceae, wenye majani ya sindano au magamba na unaozalisha koni

Tafsiri

[hariri]