communism
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri](Wingi; communism)
- Neno la kiingereza lenye maana ya nadharia ya kisiasa inayotetea vita vya kitabaka na kusababisha jamii ambapo mali yote inamilikiwa na umma na kila mtu hufanya kazi na kulipwa kulingana na uwezo na mahitaji yake.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili; ukomunisti